top of page
Search


Namna ya kumsaidia mtoto kukabiliana na msiba
Watoto na watu wazima hukabiliana na hali ya kuondokewa na wapendwa wao kwa njia tofauti. Mapokeo ya mtoto hutegemea umri, kiasi gani...
C-Sema Team
Nov 10, 20172 min read
0


Je mzazi unahusika katika kufaulu ama kufeli kwa mwanao masomoni?
Kushuka kwa kiwango cha ufaulu kwa watoto limekuwa tatizo kubwa katika jamii yetu. Pamoja na mambo mengi yanayochangia tatizo hili,...
Nadhira Jiddawi
Nov 2, 20173 min read
3


Mlinde mtoto wako kwa kumsikiliza
Mara nyingi huwa tunasisitiza umuhimu wa kumsikiliza mtoto. Kwanini tunasisitiza sana suala hili? Simu nyingi tunazopokea katika Kituo...
C-Sema Team
Oct 30, 20172 min read
2


Umuhimu wa baba kumsindikiza mama kliniki
Ingawa akina baba walio wengi sasa wanajua umuhimu wa kuwasindikiza wazazi wenza (akina-mama) kliniki wakati wa ujauzito na hata baada ya...
C-Sema Team
Oct 16, 20172 min read
10


Namna ya kuwalinda watoto dhidi ya ukatili mtandaoni
Mwanzoni mwa wiki hii kwa kushirikiana na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tulizindua tovuti maalumu ya kutoa taarifa za picha...
C-Sema Team
Oct 10, 20173 min read
2


Jinsia ya mtoto isiwe sababu ya kunyimwa malezi makini.
Katika makala haya tunaangazia uhusiano uliopo kati ya jinsia ya mtoto na malezi anayopatiwa na wazazi wake. Wapo wazazi ambao wangependa...
Nadhira Jiddawi
Sep 29, 20172 min read
5


Namna ya kukuza mtoto msomaji
Kama wazazi, tunapenda kuona watoto wetu wakijifunza mambo mapya. Si ajabu kumuona mama akimuuliza mtoto maswali huku akijua mtoto atatoa...
C-Sema Team
Sep 10, 20172 min read
2


Mwanao anautumia muda kiasi gani kwenye vifaa vya kielektroniki?
Tunapozungumzia malezi ya mtoto tunaangazia hatua zote za ukuaji wa mtoto tangu mimba inapotungwa hadi kipindi cha utoto kuisha. Kipindi...
C-Sema Team
Aug 21, 20173 min read
0


Michezo husaidia kukuza akili ya mwanao
Katika makuzi kuna mambo yanayoweza kusaidia kuchangamsha akili ya mtoto na kumfanya afikirie na kuchanganua mambo au kumfanya awe na...
C-Sema Team
Jul 15, 20172 min read
3


Namna ya kumuepusha binti yako na mimba za utotoni
Mjadala wa mimba za utotoni na fursa ya kuendelea na masomo kwa watoto hawa bado unaendelea. Yafuatayo ni mambo yatakayosaidia kumuongoza...
C-Sema Team
Jul 10, 20173 min read
3


Hivi ndivyo unaweza kumrithisha mwanao tabia njema
Katika mchakato wa kutekeleza jukumu la malezi kuna changamoto nyingi lakini kila mzazi ampokeapo mwanae mikononi kwa mara ya kwanza huwa...
C-Sema Team
Jun 26, 20172 min read
1


Haki za uzazi katika sheria ya kazi Tanzania hizi hapa
Haki za uzazi ni haki zinazomwezesha mwanamke mwajiriwa kutimiza majukumu yake ya uzazi na kufanya kazi au kuzalisha bila kubaguliwa,...
C-Sema Team
Jun 7, 20172 min read
35


Zifahamu changamoto tano za malezi ya mtoto katika balehe (miaka 12 - 14)
Huu ni wakati ambao mabadiliko mengi katika mwenendo wa maisha ya mtoto hujitokeza; madiliko haya hutokana na homoni ambazo hupelekea...
C-Sema Team
May 30, 20173 min read
3


Njia tano za kufanya nyumbani eneo la elimu kwa mtoto
Utakubaliana nasi kuwa 'shule' ya kwanza katika maisha ya mtoto ni nyumbani 'wazazi, ndugu wa familia tandaa, majirani na marafiki wa...
C-Sema Team
May 22, 20172 min read
1


Athari za kuweka picha za watoto wako mtandaoni
Matukio ya matumizi mabaya ya picha za watu mtandaoni yanaongezeka siku hata siku: Picha ya askari iliyochukuliwa katika mitandao ya...
C-Sema Team
May 16, 20173 min read
33


Mtambulishe mtoto kwa wazazi na ndugu wa familia tandaa
Tamaduni zetu za kiafrika zinaasa malezi ya watoto kufanywa na wazazi wote wawili, mama na baba. Majira sasa yameanza kubadilika na leo...
C-Sema Team
May 10, 20173 min read
2


Jinsi ya kumsaidia mwanao aache kukojoa kitandani
Hata kama mwanao amefundwa na kuelewa kwamba anapobanwa na haja akahitaji kujisaidia lazima aende chooni, usishangae awapo usingizini...
Nadhira Jiddawi
May 2, 20172 min read
10


Namna 3 za kujenga uwezo wa mtoto kuelewa mambo
Wazazi wengi hupata fahari mtoto akitimiza umri wa miaka mitatu - baada ya shughuli nzito za kumuangalia akijifunza kukaa, kutambaa na...
C-Sema Team
Apr 24, 20172 min read
27


Kuthamini matarajio ya mtoto sio kumdekeza
Matarajio ya watoto ni jambo ambalo limekuwa halipewi kipaumbele na wazazi ama walezi walio wengi kwa kudhani kwamba watoto ni viumbe...
C-Sema Team
Apr 20, 20173 min read
4


Upo umuhimu wa kulinda na kuheshimu haki za watoto
Ni dhahiri kwamba malezi tuwapatiayo watoto huwa ndiyo msingi wa mustakabali wao. Maisha ya mtu hutegemea sana msingi wa malezi aliyopata...
C-Sema Team
Jan 10, 20173 min read
11
bottom of page