top of page
Search


What it means to prepare our daughters for their first period.
There comes a day in every parent’s life filled with mixed emotions the day our daughter gets her first period. For her, it is a sign of growth and change; for us, it is a reminder that she is stepping into a new stage of life. This moment can arrive suddenly, carrying excitement, curiosity, and sometimes fear. Yet too often, it is surrounded by silence or shame. That is where our role as parents comes in: to make it an ordinary, dignified moment not one of shock or embarrass
C-Sema Team
Aug 302 min read
Â
Â


Helping our children prepare for a new school at every stage.
Starting a new school is always a big deal for our children, no matter their age. It can be exciting, but it can also feel scary, new classrooms, new teachers, new routines, and a sea of unfamiliar faces. As parents, our role is to make that change feel less overwhelming and more like an adventure.
C-Sema Team
Aug 203 min read
Â
Â


Tabia 10 ambazo watoto wetu hujifunza kutoka kwetu
Mara nyingi tunasema kwamba watoto ni waigizaji wazuri lakini je, tumewahi kufikiria wanachoiga ni nini?
C-Sema Team
Jul 214 min read
Â
Â


Tunawezaje kuthibiti hisia za hasira pale tunapochukizwa na matendo ya watoto wetu?
Tunapochagua kupiga au kufoka, mara nyingi wanajifunza kwamba matatizo hutatuliwa kwa nguvu na mabavu.
C-Sema Team
Jul 164 min read
Â
Â


Je, tunawafundisha watoto wetu kuchagua chakula bora?
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), lishe bora katika utoto wa awali hupunguza hatari ya utapiamlo, unene uliopitiliza, na magonjwa yasiyoambukiza kama kisukari baadaye maishani.
C-Sema Team
Jul 93 min read
Â
Â


Watoto wetu wanatazama na kusikiliza nini wakati huu wa likizo?
Tafiti zinaonesha kuwa watoto wanaotumia muda mwingi kutazama filamu na muziki bila usimamizi huanza kuonesha mabadiliko ya tabia: hukasirika kwa haraka, huiga lugha zisizofaa, au hukosa huruma kwa wengine.
C-Sema Team
Jul 23 min read
Â
Â


Tuanze mazungumzo ya fedha nyumbani.
Kuna fursa nyingi za kuwafundisha watoto kuhusu pesa katika maisha ya kila siku. Huhitaji kuwa na elimu ya kifedha au programu maalum.
C-Sema Team
Jun 183 min read
Â
Â


Je, Tumefikiri kulea watoto wanaojali mazingira?
Je, tunawalea watoto wetu kwa namna itakayowawezesha kuilinda dunia yao?
C-Sema Team
Jun 163 min read
Â
Â


Mtoto kwa mzazi hakui!
Mtoto kwa mzazi hakui, hata akiwa na mji wake na watoto wake.
C-Sema Team
Jun 33 min read
Â
Â


Ni wakati muafaka wa kujadili baleghe na watoto wetu bila hofu
Wazazi wa kizazi hiki, tunakabiliwa na changamoto mpya hasa uwanda mpana wa upatikanaji wa taarifa zenye mkanganyiko juu ya masuala la baleghe na mambo mengine ya afya ya uzazi kwa watoto wetu.
C-Sema Team
May 124 min read
Â
Â


Je, malezi ya sasa yamekuwa magumu kuliko zamani?
Je, kuwa mzazi katika ulimwengu wa leo ni kazi ngumu zaidi kuliko ilivyokuwa zamani?
C-Sema Team
Apr 303 min read
Â
Â


Kwa Nini watoto wadogo hukosa usingizi usiku?
Kukosa usingizi kwa watoto wenye umri wa mwaka mmoja (1) hadi mitatu (3) ni jambo la kawaida kabisa na siyo kosa lako na hata si kosa la mtoto.
C-Sema Team
Apr 233 min read
Â
Â


Tahadhari inahitajika, kuacha kulea kizazi kinachochoshwa na upendo.
Juzi kati tulikuwa na maongezi na Bw. Siegfried Mbuya, mwanasaikolojia na mtaalamu wa makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto juu ya mustakabali wa malezi na mahusiano ya watoto na wazazi.
C-Sema Team
Apr 163 min read
Â
Â


Jinsi tunavyoweza kuwasaidia watoto kujitayarisha kwa mitihani na masomo ya kila siku.
Je, tunapaswa kuwasaidia kwa kiwango gani? Au tuwaachie uhuru wa kujifunza wenyewe?Â
C-Sema Team
Mar 173 min read
Â
Â


Jinsi tunavyoweza kuelewa lugha ya upendo ya watoto wetu.
lugha tano za upendo ambazo ni mguso wa mwili, maneno ya kuhimiza, muda wa pamoja, zawadi, na vitendo vya huduma...
C-Sema Team
Mar 113 min read
Â
Â


Siku ya Wanawake duniani itukumbushe kuwafundisha watoto wetu thamani ya usawa na haki.
Kama wazazi, tunao wajibu mkubwa wa kuwalea watoto wetu kwa misingi ya usawa na haki.
C-Sema Team
Mar 83 min read
Â
Â


Tunawezaje kuzungumza na watoto wetu kuhusu suala la mahusiano?
Kuzungumza na watoto kuhusu mahusiano huwa ni jambo gumu kwa wazazi wengi wa Kitanzania. Utamaduni wetu unahimiza heshima na maadili ya...
C-Sema Team
Feb 243 min read
Â
Â


Tunawezaje kuwalinda watoto wetu mtandaoni?
Ingawa majukwaa haya yanatoa nafasi ya kujifunza na kuburudika, pia yanawaweka karibu na hatari kama vile unyanyasaji wa kingono.....
C-Sema Team
Feb 103 min read
Â
Â


Kauli chanya zina nguvu katika kuimarisha ukuaji wa hisia na akili kwa watoto wetu.
Sayansi inasemaje kuhusu kauli chanya? Kauli chanya huchochea mabadiliko chanya katika akili za watoto.
C-Sema Team
Jan 213 min read
Â
Â


Tunawezaje kuimarisha mawasiliano na watoto wetu kwa namna inayojenga maadili ya familia?
Kama wazazi, tunaweza kufanikisha hili kwa kuwauliza watoto maswali rahisi na yenye maana yatakayowasaidia kutafakari kuhusu maisha yao.
C-Sema Team
Jan 143 min read
Â
Â
bottom of page