top of page
Search


Watoto wafanye nini likizo hii zaidi ya kutazama runinga na kutumia simu?
Watoto wetu wako likizo. Milango ya shule imefungwa, ratiba za kila siku zimebadilika, na nyumbani kuna muda mwingi zaidi wa pamoja. Katika kipindi hiki, ni rahisi sana sisi kama wazazi kuruhusu simu na runinga kuchukua nafasi kubwa ya siku hasa tunapojaribu kupumzika au kutekeleza majukumu mengine ya maisha.
C-Sema Team
Dec 20, 20253 min read


Migogoro ya watoto wakati wa likizo. Tunawasaidiaje?
Kipindi cha likizo na sikukuu huwa na mvuto wake wenyewe: vicheko, harufu za chakula, pilikapilika za wageni, na watoto kukimbizana kila upande. Ni msimu unaojaza nyumba furaha hadi pale tunaposikia.
“Mama! Amenichukulia kitu changu!”
“Baba! Amenisukuma!”
C-Sema Team
Dec 18, 20252 min read


How parents and teachers can work together to resolve children’s conflicts without taking sides.
Have you ever received a call saying your child was involved in a conflict at school and your heart jumped to your child's defense before you even heard the other side of the story?
C-Sema Team
Nov 25, 20252 min read


How we can teach children to stand firm when facing bullying.
Research shows that when children learn how to handle bullying early, they build resilience, an inner strength that helps them throughout their lives. Experts like Dr. Dan Siegel explain that when we teach children how to protect themselves emotionally and logically, we help strengthen the part of their brain that supports confidence, self-control, and decision-making.
C-Sema Team
Nov 18, 20253 min read


Watoto wetu wanapohisi hofu katika kipindi hiki tunawezaje kuwasaidia?
Tunapobaki watulivu, watoto wetu huanza kutulia. Tunapowapa matumaini, mioyo yao huanza kupona. Na tunapowaonyesha upendo, wanajifunza kwamba hata baada ya maumivu, dunia bado ni mahali salama.
C-Sema Team
Nov 3, 20252 min read


What it means to prepare our daughters for their first period.
There comes a day in every parent’s life filled with mixed emotions the day our daughter gets her first period. For her, it is a sign of growth and change; for us, it is a reminder that she is stepping into a new stage of life. This moment can arrive suddenly, carrying excitement, curiosity, and sometimes fear. Yet too often, it is surrounded by silence or shame. That is where our role as parents comes in: to make it an ordinary, dignified moment not one of shock or embarrass
C-Sema Team
Aug 30, 20252 min read


Helping our children prepare for a new school at every stage.
Starting a new school is always a big deal for our children, no matter their age. It can be exciting, but it can also feel scary, new classrooms, new teachers, new routines, and a sea of unfamiliar faces. As parents, our role is to make that change feel less overwhelming and more like an adventure.
C-Sema Team
Aug 20, 20253 min read


Tabia 10 ambazo watoto wetu hujifunza kutoka kwetu
Mara nyingi tunasema kwamba watoto ni waigizaji wazuri lakini je, tumewahi kufikiria wanachoiga ni nini?
C-Sema Team
Jul 21, 20254 min read


Tunawezaje kuthibiti hisia za hasira pale tunapochukizwa na matendo ya watoto wetu?
Tunapochagua kupiga au kufoka, mara nyingi wanajifunza kwamba matatizo hutatuliwa kwa nguvu na mabavu.
C-Sema Team
Jul 16, 20254 min read


Je, tunawafundisha watoto wetu kuchagua chakula bora?
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), lishe bora katika utoto wa awali hupunguza hatari ya utapiamlo, unene uliopitiliza, na magonjwa yasiyoambukiza kama kisukari baadaye maishani.
C-Sema Team
Jul 9, 20253 min read


Watoto wetu wanatazama na kusikiliza nini wakati huu wa likizo?
Tafiti zinaonesha kuwa watoto wanaotumia muda mwingi kutazama filamu na muziki bila usimamizi huanza kuonesha mabadiliko ya tabia: hukasirika kwa haraka, huiga lugha zisizofaa, au hukosa huruma kwa wengine.
C-Sema Team
Jul 2, 20253 min read


Tuanze mazungumzo ya fedha nyumbani.
Kuna fursa nyingi za kuwafundisha watoto kuhusu pesa katika maisha ya kila siku. Huhitaji kuwa na elimu ya kifedha au programu maalum.
C-Sema Team
Jun 18, 20253 min read


Je, Tumefikiri kulea watoto wanaojali mazingira?
Je, tunawalea watoto wetu kwa namna itakayowawezesha kuilinda dunia yao?
C-Sema Team
Jun 16, 20253 min read


Mtoto kwa mzazi hakui!
Mtoto kwa mzazi hakui, hata akiwa na mji wake na watoto wake.
C-Sema Team
Jun 3, 20253 min read


Ni wakati muafaka wa kujadili baleghe na watoto wetu bila hofu
Wazazi wa kizazi hiki, tunakabiliwa na changamoto mpya hasa uwanda mpana wa upatikanaji wa taarifa zenye mkanganyiko juu ya masuala la baleghe na mambo mengine ya afya ya uzazi kwa watoto wetu.
C-Sema Team
May 12, 20254 min read


Je, malezi ya sasa yamekuwa magumu kuliko zamani?
Je, kuwa mzazi katika ulimwengu wa leo ni kazi ngumu zaidi kuliko ilivyokuwa zamani?
C-Sema Team
Apr 30, 20253 min read


Kwa Nini watoto wadogo hukosa usingizi usiku?
Kukosa usingizi kwa watoto wenye umri wa mwaka mmoja (1) hadi mitatu (3) ni jambo la kawaida kabisa na siyo kosa lako na hata si kosa la mtoto.
C-Sema Team
Apr 23, 20253 min read


Tahadhari inahitajika, kuacha kulea kizazi kinachochoshwa na upendo.
Juzi kati tulikuwa na maongezi na Bw. Siegfried Mbuya, mwanasaikolojia na mtaalamu wa makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto juu ya mustakabali wa malezi na mahusiano ya watoto na wazazi.
C-Sema Team
Apr 16, 20253 min read


Jinsi tunavyoweza kuwasaidia watoto kujitayarisha kwa mitihani na masomo ya kila siku.
Je, tunapaswa kuwasaidia kwa kiwango gani? Au tuwaachie uhuru wa kujifunza wenyewe?
C-Sema Team
Mar 17, 20253 min read


Jinsi tunavyoweza kuelewa lugha ya upendo ya watoto wetu.
lugha tano za upendo ambazo ni mguso wa mwili, maneno ya kuhimiza, muda wa pamoja, zawadi, na vitendo vya huduma...
C-Sema Team
Mar 11, 20253 min read
bottom of page
