top of page
Search


#SimuliziZa116: Baba apandishwa kizimbani kwa ukatili wa kingono kwa mwanae.
Tarehe 7 Disemba 2017 tulipokea simu kutoka kwa mama aliyeongea kwa uchungu mkubwa. Alijitambulisha kama mama Mariam mkazi wa wilaya ya...
C-Sema Team
Dec 30, 20171 min read
1


Malezi kwa watoto wakati wa likizo.
Disemba ni mwezi ambao umejaa sikukuu nyingi na pia ni mwezi ambao watoto hufunga shule na kurejea nyumbani kwa ajili ya mapumziko ili...
C-Sema Team
Dec 12, 20172 min read
58


Ben calls 116 to get help back to school
A boy named Ben called #116 from Sumbawanga Rural. He reported that, after he was done with primary school, he went back home to his...
C-Sema Team
Nov 30, 20171 min read
2


Namna wazazi tunavyoishi na athari zake katika maadili ya watoto
Mwenendo wa maisha ya wazazi hujumuisha maneno, matendo, tabia na desturi za wazazi wanazotumia katika kuendesha maisha yao ya kila siku...
C-Sema Team
Nov 25, 20172 min read
9


Namna bora ya kumlea mtoto wa pekee kwenye familia
Katika makala haya tunaangalia namna ya kumsadia mtoto aliyezaliwa pekee kwenye familia ili kuondokana na madhara yatokanayo na malezi ya...
C-Sema Team
Nov 12, 20172 min read
3


Jinsi ya kuandaa chakula cha nyongeza cha mtoto wa miezi 6
Tumezungumza na Bi Neema Shosho, mtaalamu wa lishe toka Shirika la Chakula Duniani (WFP). Bi. Shosho ametupa darasa la namna chakula cha...
C-Sema Team
Nov 10, 20173 min read
14


Namna ya kumsaidia mtoto kukabiliana na msiba
Watoto na watu wazima hukabiliana na hali ya kuondokewa na wapendwa wao kwa njia tofauti. Mapokeo ya mtoto hutegemea umri, kiasi gani...
C-Sema Team
Nov 10, 20172 min read
0


Je mzazi unahusika katika kufaulu ama kufeli kwa mwanao masomoni?
Kushuka kwa kiwango cha ufaulu kwa watoto limekuwa tatizo kubwa katika jamii yetu. Pamoja na mambo mengi yanayochangia tatizo hili,...
Nadhira Jiddawi
Nov 2, 20173 min read
3


Mlinde mtoto wako kwa kumsikiliza
Mara nyingi huwa tunasisitiza umuhimu wa kumsikiliza mtoto. Kwanini tunasisitiza sana suala hili? Simu nyingi tunazopokea katika Kituo...
C-Sema Team
Oct 30, 20172 min read
2


Umuhimu wa baba kumsindikiza mama kliniki
Ingawa akina baba walio wengi sasa wanajua umuhimu wa kuwasindikiza wazazi wenza (akina-mama) kliniki wakati wa ujauzito na hata baada ya...
C-Sema Team
Oct 16, 20172 min read
10


Namna ya kuwalinda watoto dhidi ya ukatili mtandaoni
Mwanzoni mwa wiki hii kwa kushirikiana na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tulizindua tovuti maalumu ya kutoa taarifa za picha...
C-Sema Team
Oct 10, 20173 min read
2


Jinsia ya mtoto isiwe sababu ya kunyimwa malezi makini.
Katika makala haya tunaangazia uhusiano uliopo kati ya jinsia ya mtoto na malezi anayopatiwa na wazazi wake. Wapo wazazi ambao wangependa...
Nadhira Jiddawi
Sep 29, 20172 min read
4


RAPE on this week #116Stories..
On 17th July 2017 at 10:28, a devastated mother called the Helpline #116 from Chimala, Mbarali. She reported that her daughter, Mary, who...
C-Sema Team
Sep 13, 20171 min read
1


Namna ya kukuza mtoto msomaji
Kama wazazi, tunapenda kuona watoto wetu wakijifunza mambo mapya. Si ajabu kumuona mama akimuuliza mtoto maswali huku akijua mtoto atatoa...
C-Sema Team
Sep 10, 20172 min read
2


Mwanao anautumia muda kiasi gani kwenye vifaa vya kielektroniki?
Tunapozungumzia malezi ya mtoto tunaangazia hatua zote za ukuaji wa mtoto tangu mimba inapotungwa hadi kipindi cha utoto kuisha. Kipindi...
C-Sema Team
Aug 21, 20173 min read
0


Michezo husaidia kukuza akili ya mwanao
Katika makuzi kuna mambo yanayoweza kusaidia kuchangamsha akili ya mtoto na kumfanya afikirie na kuchanganua mambo au kumfanya awe na...
C-Sema Team
Jul 15, 20172 min read
3


Namna ya kumuepusha binti yako na mimba za utotoni
Mjadala wa mimba za utotoni na fursa ya kuendelea na masomo kwa watoto hawa bado unaendelea. Yafuatayo ni mambo yatakayosaidia kumuongoza...
C-Sema Team
Jul 10, 20173 min read
3


Hivi ndivyo unaweza kumrithisha mwanao tabia njema
Katika mchakato wa kutekeleza jukumu la malezi kuna changamoto nyingi lakini kila mzazi ampokeapo mwanae mikononi kwa mara ya kwanza huwa...
C-Sema Team
Jun 26, 20172 min read
1


Haki za uzazi katika sheria ya kazi Tanzania hizi hapa
Haki za uzazi ni haki zinazomwezesha mwanamke mwajiriwa kutimiza majukumu yake ya uzazi na kufanya kazi au kuzalisha bila kubaguliwa,...
C-Sema Team
Jun 7, 20172 min read
35


Zifahamu changamoto tano za malezi ya mtoto katika balehe (miaka 12 - 14)
Huu ni wakati ambao mabadiliko mengi katika mwenendo wa maisha ya mtoto hujitokeza; madiliko haya hutokana na homoni ambazo hupelekea...
C-Sema Team
May 30, 20173 min read
2
bottom of page