top of page
Search


Ninawezaje kumfanya mtoto wangu kupenda kunywa maji?
Sote tunajua kuwa maji ni muhimu kwa afya ya mtoto. Maji hupoza mwili na husaidia kulinda joto la mwili, huzuia kuvimbiwa na maambukizi...
C-Sema Team
Aug 22, 20182 min read
2


#SimuliziZa116: chakula kipi chafaa mtoto wa mwaka mmoja?
Tarehe 7 Agosti 2018 tulipokea simu kutoka kwa Baba Jumanne (jina lake halisi limehifadhiwa kwa madhumuni ya faragha) mkazi wa Wilaya ya...
C-Sema Team
Aug 21, 20182 min read
0


Why the fight against FGM is not working in Mara
I want to begin this article with words of the former chairman of Tanzania Development Trust Mr. Julian Marcus, In the Name of Your...
C-Sema Team
Aug 16, 20184 min read
2


#SimuliziZa116: Irene* apata makazi mapya
Tarehe 13 Juni 2018, msamaria mwema alipiga simu namba 116 - Huduma ya Simu kwa Mtoto akiripoti kisa cha mtoto wa msichana aitwaye Irene*...
C-Sema Team
Jul 31, 20181 min read
0


Mwandae mtoto kuwa mtu mzima makini
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo ni usemi ambao mara nyingi hutukumbusha wazazi umuhimu wa kulea watoto wetu katika maadili mema na yenye...
C-Sema Team
Jun 30, 20182 min read
1


Ubongo wa mtoto hutengamaa ndani ya siku 1000 za mwanzo
Hivi ni kina mama, kina baba na walezi wangapi wanafahamu namna siku 1,000 za mwanzo za utoto zilivyo muhimu kwa maisha ya mtoto na namna...
C-Sema Team
Jun 29, 20182 min read
36


The Day of the African Child, #SikuYaMtoto 2018
Friday 16th June 2018, Dar es salaam: Over 500 children from all over Dar es Salaam came together to celebrate the Day of the African...
C-Sema Team
Jun 22, 20183 min read
1


Maadhimisho ya siku ya mtoto wa afrika na umuhimu wake kwa watoto
Mwaka 1991, wakuu wananchi wanachama wa OAU walianzisha Siku ya Mtoto wa Afrika (DAC) kama kumbukumbu ya uasi dhidi ya wanafunzi 16 Juni...
C-Sema Team
Jun 8, 20182 min read
1


TAMKO LA C-SEMA (SIMU YA HUDUMA KWA MTOTO) KUPINGA UKATILI WA WATOTO MTANDAONI 31.05.2018
C-Sema ni taasisi inayoendesha Kituo cha Huduma ya Simu kwa Mtoto kwa kupitia namba 116. Namba 116 ipo kwa ajili ya kupokea taarifa...
C-Sema Team
May 31, 20182 min read
1


#SimuliziZa116: Mtoto wa miaka miwili apata matibabu
Mnamo 12 Mei 2018, mama Fadhili* (siyo jina lake halisi), mtoto mwenye umri wa miaka miwili alipiga simu namba 116 ya Huduma ya Simu kwa...
C-Sema Team
May 27, 20181 min read
0


Je inawezekana mwanao kuepuka vishawishi vya makundi-rika?
Waingereza wanaita 'peer-pressure', yaani makundi-rika kwa lugha ya madafu. Watoto katika umri tofauti wa ukuaji wao wanakutana na...
C-Sema Team
May 16, 20183 min read
23


116Stories: Child Sexual Abuser Gets 30 Years in Prison
On 11th of January 2018 the Child Helpline received a phone call from a Social welfare Officer in Mwanga, Kilimanjaro, who reported a...
C-Sema Team
Apr 9, 20182 min read
0


#SimuliziZa116: Mtoto Aisha apata matibabu!
1/3/2018 tulipokea simu toka Sengerema, Mwanza iliyopigwa na baba mzazi wa mtoto kutaka msaada kwani mwanae, Aisha (jina lake halisi...
C-Sema Team
Apr 5, 20181 min read
1


Removing images of child sexual abuse online
The first priorities when child sexual abuse (CSA) images are found online, according to GSMA is taking down the images and finding the...
C-Sema Team
Apr 1, 20183 min read
2


Kwa nini mahusiano ya karibu na mtoto wako ni muhimu kwa ukuaji wake?
Mabadiliko ya mfumo wa maisha hasa katika utafutaji yamewafanya wazazi walio wengi hukosa muda wa kuwa karibu na watoto wao. Hivyo watoto...
C-Sema Team
Mar 14, 20182 min read
0


Zifahamu haki tano muhimu za mtoto wako
Sheria ya Mtoto inamtafsiri mtoto kama mtu mwenye umri chini ya miaka 18. Watoto ni sehemu muhimu ya jamii na ndiyo tegemeo la uendelevu...
C-Sema Team
Mar 10, 20183 min read
15


Zijue kazi wanazofanyishwa watoto kinyonyaji
Sheria ya Mtoto inainisha juu ya haki ya mtoto kufanya kazi ili kumuandaa kujitegemea pindi awapo mtu mzima. Hivyo zipo taratibu na...
C-Sema Team
Mar 1, 20183 min read
2


Mzazi anza kumjengea mwanao tabia ya kujitegemea mapema
Tunapata wasiwasi mkubwa juu ya maisha ya baadaye ya watoto wetu kwamba watakuwa na maisha ya aina gani? Watakuwa watu wazima wa namna...
C-Sema Team
Feb 28, 20182 min read
0


#SimuliziZa116: Watoto wawili yatima wapata mlezi kwa uasili (adoption)
Ilikuwa ni siku tulivu ambapo mshauri wetu katika kituo cha Huduma ya Simu kwa Mtoto #116 alipokea simu ya Bwana Juma Said aliyepiga...
C-Sema Team
Feb 23, 20182 min read
3


Kwanini mzazi unahitaji elimu ya huduma ya kwanza kwa mtoto wako
Watoto wawapo nyumbani hujihusisha na michezo mbalimbali ambayo kwayo huburudishwa na kuwajengea mahusiano bora. Kila hatua ya ukuaji wa...
C-Sema Team
Feb 20, 20182 min read
2
bottom of page