top of page
Search


C-Sema Team
Sep 24, 20203 min read
Je, naweza kupata maziwa yakutosha?
Akina mama wengi huwa wana wasiwasi kama wana maziwa ya kutosha. Katika siku za kwanza baada ya kujifungua mama huwa anatoa maziwa ya...
9


C-Sema Team
Sep 19, 20202 min read
Kuhusu uwezekano wa kupata ujazito.
Hili ni swali la msingi. Ni upi uwezekano wa mama kupata ujauzito ndani ya mwezi? Uwiano wa mwanamke kupata ujauzito ni asilimia 15%...
99


C-Sema Team
Sep 19, 20202 min read
Faida za unyonyeshaji kwako na mwanao
Faida za unyonyeshaji kwa mwanao. Maziwa ya mama humpatia mtoto virutubisho vyote anavyohitaji katika miezi 6 ya mwanzo toka kuzaliwa....
3

C-Sema Team
Sep 17, 20204 min read
Mambo 10 usiyoyajua kuhusu watoto wachanga.
Makala haya yameandaliwa kutokana na mahojiano yetu na mtaalam wa afya ya watoto toka katika Chuo Kikuu cha Tiba cha Malawi – Blantyre...
1,292

C-Sema Team
Sep 15, 20202 min read
Ubongo wa mtoto hutengamaa ndani ya siku 1,000 za mwanzo.
Hivi ni kina mama, kina baba na walezi wangapi wanafahamu namna siku 1,000 za mwanzo za utoto zilivyo muhimu kwa maisha ya mtoto na namna...
3


C-Sema Team
Sep 8, 20203 min read
Kuzaliwa hadi mwaka wa kwanza wa maendeleo ya mwanao.
Kumhumdumia mtoto mdogo (chini ya mwaka mmoja) linaweza kuwa jambo la kuchosha lakini kuna mengi ya kutumainia. Chukua muda wako kutembea...
1


C-Sema Team
Sep 2, 20202 min read
Namna ya kumsaidia mama mjamzito akiwa kwenye uchungu wa uzazi.
Msaada mkubwa zaidi ambao unaweza kumpa mama mjamzito ajifungue kwa usalama ni kumtia moyo kwa upendo. Epuka kuingiza vidole vyako ukeni...
219


C-Sema Team
Aug 26, 20203 min read
Uchungu wa uzazi.
Uchungu wa uzazi hutokana na kubana na kuachia (tena kwa kurudiarudia) kwa misuli katika tumbo la uzazi. Misuli hii inavyobana na kuachia...
416


C-Sema Team
Aug 13, 20204 min read
Vijue vipimo vya ujauzito
Vipimo vya ujauzito. Vipimo vya ujauzito vinaweza kukusaidia kujua kama wewe ni mjamzito au la. Hapa kuna maswali yatakayokusaidia kujua...
72


C-Sema Team
Aug 12, 20203 min read
Mambo ya kufanya kabla ya kupata ujauzito
Unaweza kuwa hujapata ujauzito bado lakini kuna mengi unaweza kufanya ili kuhakikisha afya njema kwako na mtoto atakayekuwa tumboni...
10


C-Sema Team
Jun 24, 20204 min read
REPOSTED: 8 tips on being the best father you can be from gender equality activists around the world
Our partner network organisation MenCare asked about 100 partners, practitioners, activists, and researchers from 50 countries to provide...
2


C-Sema Team
Nov 11, 20193 min read
Umuhimu wa usafi na afya za watoto wetu
Usafi ni ujuzi wa kujifunza. Hii ni kwa sababu binadamu tunazaliwa pasi na uwezo wa kung'amua wala kuutambua uchafu. Mwangalie kichanga...
17


C-Sema Team
Oct 15, 20192 min read
Ijue sheria ya viboko mashuleni
Hivi karibuni na hasa juma hili kumekuwa na taarifa za matukio mengi ya walimu kuwaadhibu wanafunzi kwa viboko kiasi cha kupelekea vifo,...
13

C-Sema Team
Sep 11, 20191 min read
Fahamu mzunguko wa hedhi.
Ufahamu juu ya mzunguko wa hedhi husaidia. Mzunguko wa hedhi huanza siku ya kwanza pale ambapo mwanamke anapoona damu nyekundu na siyo tu...
200


C-Sema Team
Jul 11, 20192 min read
Mwongozo wa kujenga mahusiano bora baina ya watoto wa tumbo moja
Mara nyingi tunapowaza juu ya kupata mtoto mwingine huwa picha zinazokuja vichwani mwetu ni kuwa sasa mwanangu/wanangu wanakwenda kupata...
3


C-Sema Team
Jun 1, 20193 min read
Kwa nini tunapswa kuimarisha ulinzi wa watoto kuelekea siku kuu ya Iddi?
Msimu wa sikukuu huambatana na furaha zisizo na kifani, furaha ambazo huwapunguzia wazazi uchovu unaotokana na mihangaiko yao katika...
3


C-Sema Team
May 17, 20193 min read
Kwanini mtoto aliye na umri wa chini ya miaka 10 hapaswi kupelekwa shule za bweni
Zipo sababu lukuki kwanini tunawapeleka watoto wetu shule za bweni ikiwa ni pamoja na kufiwa na wazazi wao, majukumu ya kusaka riziki kwa...
8


C-Sema Team
May 16, 20192 min read
Zijue adhabu zinazotolewazo sheria ya mtoto inapovunjwa
Makala haya yanaangazia baadhi ya adhabu chache zinazogusa maisha ya wazazi / walezi na hata watoto katika kutimiza majukumu yao ya kila...
77


C-Sema Team
May 10, 20193 min read
Fahamu sababu ya watoto wachanga kucheua
Kucheua kwa mtoto ni kitendo cha mtoto kutoa mabaki ya chakula yanayopitia mdomoni muda mfupi tu baada ya kula ama kunyonya. Kwa wazazi...
83


C-Sema Team
May 2, 20193 min read
Hebu tuwalinde watoto dhidi ya unyanyasaji wa kingono mtandaoni
Mwaka 2018 zilipatikana takribani tovuti 105,000 zenye maudhui ya unyanyasaji wa kingono kwa watoto. Tovuti hizi huwa na picha na video...
1
bottom of page