top of page
Search


Je, tunawafundisha watoto wetu kuchagua chakula bora?
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), lishe bora katika utoto wa awali hupunguza hatari ya utapiamlo, unene uliopitiliza, na magonjwa yasiyoambukiza kama kisukari baadaye maishani.
C-Sema Team
Jul 9, 20253 min read


C-Sema strengthens global child protection commitments at the 11th International Consultation of Child Helplines.
The 11th International Consultation of Child Helplines focused on a powerful theme: “Children at the Centre! A Global Voice for Mental Health, Violence Prevention and Response – Envisioning Helplines for 2030.” And yes, it was as inspiring as it sounds.
C-Sema Team
Jul 4, 20252 min read


Watoto wetu wanatazama na kusikiliza nini wakati huu wa likizo?
Tafiti zinaonesha kuwa watoto wanaotumia muda mwingi kutazama filamu na muziki bila usimamizi huanza kuonesha mabadiliko ya tabia: hukasirika kwa haraka, huiga lugha zisizofaa, au hukosa huruma kwa wengine.
C-Sema Team
Jul 2, 20253 min read


Tuanze mazungumzo ya fedha nyumbani.
Kuna fursa nyingi za kuwafundisha watoto kuhusu pesa katika maisha ya kila siku. Huhitaji kuwa na elimu ya kifedha au programu maalum.
C-Sema Team
Jun 18, 20253 min read


Je, Tumefikiri kulea watoto wanaojali mazingira?
Je, tunawalea watoto wetu kwa namna itakayowawezesha kuilinda dunia yao?
C-Sema Team
Jun 16, 20253 min read


Reflections from the Tanzania Mental Health Summit 2025.
Kahama isn't the first place that comes to mind when people talk about national change.
C-Sema Team
Jun 10, 20254 min read


Mtoto kwa mzazi hakui!
Mtoto kwa mzazi hakui, hata akiwa na mji wake na watoto wake.
C-Sema Team
Jun 3, 20253 min read


C-SEMA Joins the First Lady of Finland in Opening New Gender and Children Desk in Zanzibar
For too many women, children and men, reporting abuse can be a frightening and isolating experience. The new Desk is a response to that reality, a dedicated space within the police station where survivors can be heard, supported, and referred to the help they need, with dignity and care.
C-Sema Team
May 23, 20253 min read


Ni wakati muafaka wa kujadili baleghe na watoto wetu bila hofu
Wazazi wa kizazi hiki, tunakabiliwa na changamoto mpya hasa uwanda mpana wa upatikanaji wa taarifa zenye mkanganyiko juu ya masuala la baleghe na mambo mengine ya afya ya uzazi kwa watoto wetu.
C-Sema Team
May 12, 20254 min read


Je, malezi ya sasa yamekuwa magumu kuliko zamani?
Je, kuwa mzazi katika ulimwengu wa leo ni kazi ngumu zaidi kuliko ilivyokuwa zamani?
C-Sema Team
Apr 30, 20253 min read


Kwa Nini watoto wadogo hukosa usingizi usiku?
Kukosa usingizi kwa watoto wenye umri wa mwaka mmoja (1) hadi mitatu (3) ni jambo la kawaida kabisa na siyo kosa lako na hata si kosa la mtoto.
C-Sema Team
Apr 23, 20253 min read


Stock taking three and a half years of the Chaguo Langu Haki Yangu Programme.
Chaguo Langu Haki Yangu has grown from a concept into a movement. A movement grounded in rights, led by people, and driven by shared values.
C-Sema Team
Apr 22, 20254 min read


Tahadhari inahitajika, kuacha kulea kizazi kinachochoshwa na upendo.
Juzi kati tulikuwa na maongezi na Bw. Siegfried Mbuya, mwanasaikolojia na mtaalamu wa makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto juu ya mustakabali wa malezi na mahusiano ya watoto na wazazi.
C-Sema Team
Apr 16, 20253 min read


Empowering Youth Through Digital SRHR Tools.
At C-Sema, we know that real change starts at the community level often with young people at the center.
C-Sema Team
Mar 28, 20253 min read


Jinsi tunavyoweza kuwasaidia watoto kujitayarisha kwa mitihani na masomo ya kila siku.
Je, tunapaswa kuwasaidia kwa kiwango gani? Au tuwaachie uhuru wa kujifunza wenyewe?
C-Sema Team
Mar 17, 20253 min read


Jinsi tunavyoweza kuelewa lugha ya upendo ya watoto wetu.
lugha tano za upendo ambazo ni mguso wa mwili, maneno ya kuhimiza, muda wa pamoja, zawadi, na vitendo vya huduma...
C-Sema Team
Mar 11, 20253 min read


Siku ya Wanawake duniani itukumbushe kuwafundisha watoto wetu thamani ya usawa na haki.
Kama wazazi, tunao wajibu mkubwa wa kuwalea watoto wetu kwa misingi ya usawa na haki.
C-Sema Team
Mar 8, 20253 min read


Young people are taking charge and we're here for it!
One of the most eye-opening moments? Realizing just how much bullying can affect a child’s life, mentally, emotionally, and academically.
C-Sema Team
Mar 4, 20253 min read


Tunawezaje kuzungumza na watoto wetu kuhusu suala la mahusiano?
Kuzungumza na watoto kuhusu mahusiano huwa ni jambo gumu kwa wazazi wengi wa Kitanzania. Utamaduni wetu unahimiza heshima na maadili ya...
C-Sema Team
Feb 24, 20253 min read


Uniting with Communities in Mara to protect girls and women from FGM and all forms of GBV.
Ending FGM is not just about changing laws—it’s about changing mindsets, dismantling harmful traditions, and empowering girls.
C-Sema Team
Feb 14, 20255 min read
bottom of page
